,

Juu Quotes

Quotes tagged as "juu" Showing 1-5 of 5
Enock Maregesi
“Mheshimu sana mtu aliyekupandisha juu kwa sababu utakaposhuka ndiye atakayekupokea, ijapokuwa unaweza usishuke kabisa au unaweza kushuka ukapokelewa na mtu mwingine baki, kwa kudura za Mwenyezi Mungu.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Usimdharau mtu aliyesaidia kukusukuma juu katika ngazi ya mafanikio yako, ikiwa utafanikiwa, kwa sababu kuna leo na kesho. Ukishuka, kama ulimdharau, hatakuamini tena. Lakini ukishuka, kama ulimheshimu, na kama bado ana uwezo wa kukupandisha juu, atakupandisha tena.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Ukitaka kuridhika lazima ufike juu.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Furaha iko juu!”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Ukiwa juu uwezekano wa kushuka chini ni mkubwa sana, kuliko ukiwa chini ambapo uwezekano wa kupanda juu ni mkubwa sana.”
Enock Maregesi