,

Tanzanians Quotes

Quotes tagged as "tanzanians" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Watanzania wengi hawana mzuka na kazi, ndiyo maana wanashindwa.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.”
Enock Maregesi