,

Tanzania Quotes

Quotes tagged as "tanzania" Showing 1-30 of 33
José Ramos-Horta
“As a Nobel Peace laureate, I, like most people, agonize over the use of force. But when it comes to rescuing an innocent people from tyranny or genocide, I've never questioned the justification for resorting to force. That's why I supported Vietnam's 1978 invasion of Cambodia, which ended Pol Pot's regime, and Tanzania's invasion of Uganda in 1979, to oust Idi Amin. In both cases, those countries acted without U.N. or international approval—and in both cases they were right to do so.”
Jose Ramos-Horta, A Matter of Principle: Humanitarian Arguments for War in Iraq

Julius Nyerere
“The education provided must therefore encourage the development in each citizen of three things; an inquiring mind; and ability to learn from what others do, and reject or adapt it to his own needs; and a basic confidence in his own position as a free and equal member of the society, who values others and is valued by them for what he does and not for what he obtains.”
Julius Nyerere

Julius Nyerere
“No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people.”
Julius Nyerere

Enock Maregesi
“Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa baba kwa familia yake. Kwa Tanzania alikuwa mlezi; wa ndoto ya haki, amani, uzalendo, ujamaa, na uhuru.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“To be able to influence Tanzanian literature and African literature, and sell our books in Tanzania as well as in our continent, we need to be committed to what we do. And what we do is writing. Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people, about things that matter. To make a living from writing, and make people read again in Tanzania and Africa; we must write very well, very good stories.”
Enock Maregesi

“I continue to grow beautifully on my inside while the wrinkles take care of my outside’’ – Binduu Chopra”
Binduu Chopra, A Quest...Beyond the Visible

Enock Maregesi
“Hatutakiwi kuishi kama raia wa Tanzania peke yake. Tunatakiwa kuishi kama raia wa dunia na watumishi wa utu, hasa katika kipindi hiki cha zama za utandawazi. Sina lazima ya kutoka nje kufanya utafiti wa kazi zangu siku hizi. Nje ninayo hapa ndani!”
Enock Maregesi

Julius Nyerere
“In Tanganyika we believe that only evil, Godless men would make the color of a man's skin the criteria for granting him civil rights.”
Julius Nyerere

Enock Maregesi
“Usiwe na wasiwasi, Peter. Hizo ni hisia zangu tu. Huwezi kuwa mpelelezi. Lakini, kusema ule ukweli, ningependa sana kuonana na John Murphy. Kuna kazi binafsi ningependa kumpa. Wewe unatoka Afrika, hujawahi kumwona?” Debbie alizidi kumshtua Murphy.
“Nani?” Murphy aliuliza huku akitabasamu.
“John Murphy wa Afrika.”
“Sijawahi kumwona. Mbona unamuulizia hivyo?”
Debbie alitulia. Kisha akarusha nywele ili aone vizuri.
“Nampenda sana!”
“Kwa nini?”
“Simpendi kwa mahaba, lakini.”
“Ndiyo. Kwa nini?”
“OK. Nampenda kwa kipaji chake. Alichopewa na Mungu, cha ujasusi. Kusaidia watu.”
“Ahaa!” Murphy alidakia, sasa akifikiri sana.
“Murphy ana mashabiki wengi hapa Meksiko bila yeye mwenyewe kujua, kwa sababu ya kupambana na wahalifu wa madawa ya kulevya – hasa wa huku Latino. Tatizo lake haonekani. Wengi hudhani ni hadithi tu, kwamba hakuna mtu kama huyo hapa duniani.”
“Hapana! Murphy yupo! Ni mfanyabiashara maarufu huko Tanzania. Lakini ndiyo hivyo kama unavyosema ... Haonekani!”
Enock Maregesi, Kolonia Santita

Enock Maregesi
“Kitabu cha 'Kolonia Santita' ni kitabu cha wasomi na wasiokuwa wasomi, watu wa mijini na watu wa vijijini, watu wazima, vijana na watoto. Hadhira ya kitabu hiki ni jamii nzima ya Tanzania.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita.

Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati.

Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila.

Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.”
Enock Maregesi

Julius Nyerere
“We, in Africa, have no more need of being 'converted' to socialism than we have of being 'taught' democracy. Both are rooted in our past -- in the traditional society which produced us.”
Julius Nyerere

Julius Nyerere
“A nation which refuses to learn from foreign culture is nothing but a nation of idiots and lunatics... But to learn from other cultures does not mean we should abandon our own.”
Julius Nyerere

Enock Maregesi
“Wajerumani, hata hivyo, wakati wa utawala wao waliruhusu Kiswahili kiwe lugha halisi ya taifa nchini Tanzania kwa vile hawakukiongea Kiingereza wala hawakukipenda. Ndiyo maana Kiswahili kinazungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko Kenya au Uganda.”
Enock Maregesi

Julius Nyerere
“Moyo kabla ya silaha”
Julius Nyerere

Enock Maregesi
“Kiongozi wa kanda ya Afrika ya Kusini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Justin Mafuru, alijitolea maisha yake kufanya vitu viwili vya msingi kwa ajili ya dunia: Kukomesha madawa haramu ya kulevya nchini Tanzania na duniani kwa jumla, kupitia Tume ya Dunia, na kutafuta kupitia maabara za CERN ('Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire') chembe ndogo ya 'higgs' ('Higgs Boson') inayosemekana kuhusika na uzito ('mass') wa chembe ndogo kumi na sita za atomu kasoro chembe ya mwanga; iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa 'Big Bang', miaka bilioni kumi na tatu nukta saba iliyopita kwa faida ya uanadamu.”
Enock Maregesi, Kolonia Santita

Enock Maregesi
“Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Novelists and the literary world play an important part in shaping languages. The Swahili they write influence the readers and their languages. The literary obstacle in Tanzania is not that people do not read, but that they don’t read because there are no interesting writers.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa bendera ya taifa letu! Alikuwa alama ya amani, haki, uhuru, ujamaa, uzalendo, na Tanzania.”
Enock Maregesi

“Angel pushed the plate of cupcakes towards her guest, who had failed to comment on the colors- which were the colors of the Tanzanian flag- and had so far eaten only one: one of those iced in yellow that, on the flag, represented Tanzania's mineral wealth.”
Gaile Parkin, Baking Cakes in Kigali

Enock Maregesi
“Kumwelewa Nyerere lazima uielewe Tanzania.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kazi yenu kwetu ni kutusaidia, na kazi yetu kwenu ni kuwasaidia pia; kwani kila mwananchi anao wajibu wa kuisaidia serikali yake. BASATA, katika jina la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, endeleeni kuhamasisha na kuhakikisha wasanii wote nchini wanajisajili; kwa kuendelea kutoa tuzo mbalimbali za sanaa na jitihada nyingine, na kwa kuendelea kufuatilia kuhakikisha kuwa kila msanii anajisajili na kupata kibali.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Hakuna mtu yeyote, Tanzania, aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya wengine, kama Nyerere.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kuna tetesi kuwa Julius Nyerere alipewa tuzo ya MBE na malkia wa Uingereza akiwa rais wa Tanzania! Lakini aliikataa! Kwa nini? Kwa sababu angeonekana Mwingereza zaidi kuliko Mtanzania! Januari 26, 1996 akapewa Tuzo ya Kimataifa ya Amani ya Mahatma Gandhi ya mwaka 1995, ya kwanza kabisa, iliyotolewa na Serikali ya India. Lakini hiyo pia akaikataa! Kwa sababu Mahatma Gandhi alimwaga damu katika harakati zake za kuwang'oa wakoloni barani Afrika! Kama ni kweli, hakuna kujitolea kuliko huko.”
Enock Maregesi

Carlos José Pérez Sámano
“Africa es la madre de la humanidad. Y ellas son las madres de Africa. De aquí surgió el primer ser humano. Y era mujer.”
Carlos José Pérez Sámano, África Sueño de Sombras Largas

Julius Nyerere
“Our need is not for brakes to social change... -our lack of trained manpower and capital resources, and even our climate, act too effectively already”
Julius Nyerere

Julius Nyerere
“If you want to know one of my most fundamental convictions, it is that I am completely non-racialist. I do not understand racialism at all.”
Julius Nyerere

Enock Maregesi
“Tanzania ina majanga mawili kuhusiana na UVIKO-19: Janga la Korona na janga la watu wasiotaka kuchanjwa! Nisikilize! Kataa kwa hekima! Acha Mungu achanjwe kwa niaba yako!”
Enock Maregesi

“Roho ya Badman Killa ni jambo moja lenye nguvu ambalo unajikuta ukitaja. Ikiwa huu sio ushuhuda kwamba DON SANTO ni kutoka kwa mungu, basi sijui ni nini. Dah!”
Barnaba Classic

« previous 1